THE LOVE OF GOD
Wednesday, November 19, 2014
Monday, March 3, 2014
ISHI MAISHA YA KUSAMEHE
Ni jambo la muhimu sana mbele za MUNGU kuwa na maisha ya kusamehe, maana neno linasema " Sisi je tutapataje kupona tusipo jali wokovu mkuu namna hii? Waebrania 2: 3.
Kusamehe huachilia wokovu katika maisha yetu, ndio maana asiyeweza kusamehe naye hatasamehewa na Mungu Mathayo 6: 15.
MAOMBI
Kusamehe huachilia wokovu katika maisha yetu, ndio maana asiyeweza kusamehe naye hatasamehewa na Mungu Mathayo 6: 15.
MAOMBI
Thursday, February 27, 2014
KUWA NA HOFU YA MUNGU
Ukisoma kitabu cha mwanzo 39 na kuendelea utakutana na habari ya Yusuph mtu aliyempenda sana Mungu.Tuangalie kwa pamoja ule mstari wa tisa sura hii ya 39 ; utaona jinsi ambavyo hofu ya Mungu ndani ya moyo wa Yusufu alimfanya akatae kufanya dhambi maana walikuwa wawili tu kama si kuwa na hofu ya Mungu hakika angefanya dhambi na watu
MAOMBI KWA AJILI YA KIONGOZI WA MAONO
Matendo 12: 5, ukisoma huu mstari wa tano utaona umuhimu wa kuombea kiongozi wa maono kama ambavyo kanisa lilimuombea Petro na akafunguliwa katika vifungo vyake
Subscribe to:
Comments (Atom)
Featured Post
UNAITUMIAJE NAFASI ULIYONAYO?
Kufanikiwa kwako katika maombi kunategemea unavyoitumia nafasi yako uliyonayo katika ulimwengu wa Roho. Jadili